www.shijamovies.blogspot.com

www.shijamovies.blogspot.com

Marine Tanzania Swimming Club Call: +255 655 461 460

Marine Tanzania Swimming Club Call: +255 655 461 460
Get Swimming Training from Experts www.marineswimmingclub.blogspot.com

December 12, 2013

MALIKIZO KUTOA SUPER HERO


Msanii  wa kitanzania anaeishi nchini Australia Malikizo anatarajia kuachia ngoma yake mpya itakayojulikana kwa jina la SUPER HERO.Malikizo anaendelea kusema ngoma yake hiyo ni moja kati ya ngoma kali aliyoifanyia katika jiji la Perth nchini humo.



Malikizo anaendelea kufunguka na kusema kuwa SUPER HERO NI ZAWADI ya X-MASS kwa mashabiki wa muziki wa Bongo Fleva. ”Ngoma ya SUPER HERO itakuwa hewani katika vituo mbalimbali vya Redio na TV.  Malikizo yupo nchini Australia kwa masomo ya Muziki na Filamu.



“Napenda kuwaomba mashabiki wa muziki kuipokea ngoma yangu hii mpya’ Alisema Malikizo.

1 comment: