www.shijamovies.blogspot.com

www.shijamovies.blogspot.com

Marine Tanzania Swimming Club Call: +255 655 461 460

Marine Tanzania Swimming Club Call: +255 655 461 460
Get Swimming Training from Experts www.marineswimmingclub.blogspot.com

December 12, 2013

BURIANI MZEE HILUKA.

Wasanii wa Bongo Movie wakiongozwa na rais  wao wa TAFF Bwana Saimon Mwakifamba jana ni miongoni mwa watu waliojitokeza kumzika Baba mzazi wa katibu wa shirikisho la Filamu Tanzania “TAFF” bwana Bishop Hiluka uko boko jijini Dar es salaam.

Mzee Hiluka alifariki katika Hospitali ya Hindu Mandal kwa ugonjwa wa moyo.


“Kwakweli nimefarijika sana kuwaona wasanii wenzangu wamekuja kumzika Baba yangu” alisema Bishop huku akitoa machozi kwa uchungu





No comments:

Post a Comment