www.shijamovies.blogspot.com

www.shijamovies.blogspot.com

Marine Tanzania Swimming Club Call: +255 655 461 460

Marine Tanzania Swimming Club Call: +255 655 461 460
Get Swimming Training from Experts www.marineswimmingclub.blogspot.com

December 9, 2013

WASTARA AFUNGUKA

Wakati wadau wa tasnia ya filamu nchini wakimshauri msanii wa filamu Deogratius Shija kumuoa msanii mwenzie  Wastara Juma. 



Kuna tetesi kuwa  mwana dada huyo  mjane amekuwa na mahusiano ya kimapenzi na mtangazaji wa kipindi cha ACTION  and CUT bwana Bond bin sinnan. Wastara amesema kuwa  muda siyo mrefu mrefu atamtambulisha mpenzi wake mpya.




No comments:

Post a Comment