www.shijamovies.blogspot.com

www.shijamovies.blogspot.com

Marine Tanzania Swimming Club Call: +255 655 461 460

Marine Tanzania Swimming Club Call: +255 655 461 460
Get Swimming Training from Experts www.marineswimmingclub.blogspot.com

December 18, 2013

WASANII KURUDI KWENYE TAMTHILIA

Baada ya wizi wa kazi za wasanii kupamba moto nchini,makampuni ya usambazaji  wa Filamu kutishia kufunga makampuni yao. 
Baadhi ya wasanii wa Bongo Movie wanataka kurudisha  michezo  ya TV Kama zamani.kipindi cha nyuma kulikuwa na makundi kama Kaole ,Mambo hayoFukuto yaliyofanya  vizuri sana kwenye luninga. Msanii maarufu nchini DR Cheni alisema ni bora wasanii tukarudia michezo ya TV kuliko filamu ambazo zinaibiwa na kupata hasara.


 Moja kati ya michezo  ya kipindi kile iliyokuwa inachezwa na Kaole  Sanaa Group  ni mchezo wa KABLA HUJAFA HUJAUMBIKA.Katika kuongezea mkazo juu ya hilo msanii nguli Single Mtambalike "Richie Richie"  amesema wasanii tutumie fursa ya hizi TV zinazoendelea kuanzishwa kupeleka kazi ambazo hazitatuumiza kichwa kwa wizi huo. 


Katika kufanya kwa vitendo msanii mnene hapa nchini JB amesema yeye anaingia kambini kutengeneza tamthilia.

 


No comments:

Post a Comment