www.shijamovies.blogspot.com

www.shijamovies.blogspot.com

Marine Tanzania Swimming Club Call: +255 655 461 460

Marine Tanzania Swimming Club Call: +255 655 461 460
Get Swimming Training from Experts www.marineswimmingclub.blogspot.com

April 4, 2014

KANUMBA DAY

Ni Mwaka wa pili sasa tangu msanii nguli wa Filamu hapa Nchini Marehemu Steven Charles Kamumba kutangulia mbele za haki.
Familia ya Kanumba imeendaa misa maalumu siku ya tarehe 7 katika kanisa la KKKT kimara ili kuadhimisha miaka miwili tangu kutangulia mbele za haki.

Baadae kutakuwa na tamasha kubwa lililopewa jina la kanumba day litakalofanyika  katika ukumbi wa Dar Live Mbagala.



No comments:

Post a Comment