www.shijamovies.blogspot.com

www.shijamovies.blogspot.com

Marine Tanzania Swimming Club Call: +255 655 461 460

Marine Tanzania Swimming Club Call: +255 655 461 460
Get Swimming Training from Experts www.marineswimmingclub.blogspot.com

November 22, 2013

Thea atoa la rohoni



Mcheza filamu za bongo Ndumbangwe Misayo “Thea”amefunguka na kusema kuwa Maisha ya ndoa ni Maisha magumu sana kama ndani  ya nyumba wana ndoa hawasikilizani na kuelewana. 

Thea na mume wake mike siku za hivi karibuni  ilitokea tetesi kuwa ndoa yao imevunjika. Thea ambaye kwa  hivi  sasa amerudi kwa wazazi wake kwa mapumziko anasema kuwa kama angekuwa anajuwa asingetaka kuolewa. 

Thea anasema kuwa  kinachofanya ndoa yao isivunjike ni yesu kristo anawasimamia.



No comments:

Post a Comment