www.shijamovies.blogspot.com

www.shijamovies.blogspot.com

Marine Tanzania Swimming Club Call: +255 655 461 460

Marine Tanzania Swimming Club Call: +255 655 461 460
Get Swimming Training from Experts www.marineswimmingclub.blogspot.com

November 20, 2013

Wema Sepetu ajisalimisha Mahakamani.


 Ni baada ya mahakama kutoa hati ya kumkamata muigizaji Wema Isack Sepetu kutoka na madai ya kutohudhulia mahakamani mara mbili  katika kesi inayomkabili ya kumtukana na kumjeruhi meneja wa hoteli ya Mediterania Bwana Goodluck Kayumbu.




Wema katika utetezi wake aliikabidhi mahakama cheti cha kifo cha baba yake mzee Isack Sepetu na kuiambia mahakama alishidwa kuhudhuria mahakamani kwasababu alikuwa anauguliwa na baba yake ambae kwa sasa ametangulia mbele za haki.



katika utetezi wa pili”wema alisema siku ya tukio alikuwa amelewa sana na alichokifanya ilikuwa ni pombe baada ya kugundua amefanya kosa hilo alifanya jitihada za kumuomba msamaha Bwana Goodluck Kayumbu lakini meneja huyo alikataa na kulifikisha jambo hilo mahakamani”



No comments:

Post a Comment