www.shijamovies.blogspot.com

www.shijamovies.blogspot.com

Marine Tanzania Swimming Club Call: +255 655 461 460

Marine Tanzania Swimming Club Call: +255 655 461 460
Get Swimming Training from Experts www.marineswimmingclub.blogspot.com

November 22, 2013

Rufaa ya akina Babu sea yagonga mwamba tena.



Wanamuziki  wa dansi  nchini Tanzania  ambao ni baba na mwana“Babu Sea” (Vick Nguza) na Papii Kocha sasa  wanasubiri  huruma  ya  Rais  wa  jamhuri  ya  muungano  wa Tanzania, kutokana na mahakama ya rufaa  kupitia  rufaa  yao na kuitupilia mbali kwa madai kwamba haikuwa na jambo jipya tofauti na rufaa ya awali.

Hivyo wataendelea kutumikia kifungo cha Maisha jela kwa mujibu wa katiba ya Tanzania.Mkuu wa nchi anayomamlaka ya kutoa msamaha  kwa wafungwa.
 Kilicho baki sasa watanzania wanasubiri huruma hiyo kuwawezesha kurudi uraiani.



No comments:

Post a Comment