www.shijamovies.blogspot.com

www.shijamovies.blogspot.com

Marine Tanzania Swimming Club Call: +255 655 461 460

Marine Tanzania Swimming Club Call: +255 655 461 460
Get Swimming Training from Experts www.marineswimmingclub.blogspot.com

November 30, 2013

BONANZA KATI YA BONGO MOVIE NA BONGO FLEVA

 Ni wakati wenu mashabiki wa bongo movie na bongo fleva.Jumapili kutakuwa na mechi  ya mpira wa miguu kati ya bongo movie na bongo fleva.


 bonanza hilo litakuwa siku ya jumapili katika uwanja wa TCC Chang`ombe kuanzia asubuhi.Fika ujionee viwango vya wasanii wetu katika mchezo.


Bongo movie wamepania kushinda mechi hiyo ili kulinda heshima, kwani mara ya mwisho katika tamasha la matumaini ililofanyika mwezi wa 7 mwaka huu bongo fleva iliwachapa bongo movie 2-1.



No comments:

Post a Comment