www.shijamovies.blogspot.com

www.shijamovies.blogspot.com

Marine Tanzania Swimming Club Call: +255 655 461 460

Marine Tanzania Swimming Club Call: +255 655 461 460
Get Swimming Training from Experts www.marineswimmingclub.blogspot.com

November 29, 2013

STIKA ZA TRA.


Wasanii wa bongo movie kwa umoja wao wametoa malalamiko yao kwa mamlaka ya mapato nchini TRA kwa kuchelewesha kutoa  stika za ushuru kwa haraka.



 Wasanii haowakiongozwa  na mwenyekiti wao Vicent Kigosi “Ray” wamesema kitendo cha TRA kuchelewesha kwa upatikanaji  wa stika hizo kwa wakati unasababisha kuchelewa kuingia kwa kazi mpya sokoni.


Tangu  kulasimiswa kwa secta ya filamu na serikali kuanzia novemba mosi mamlaka ya mapatoTRA wameingia stika chache nchini na kusababisha mlundiko wa kazi nyingi kushidwa kuingia sokoni kwa wakati.

No comments:

Post a Comment