www.shijamovies.blogspot.com

www.shijamovies.blogspot.com

Marine Tanzania Swimming Club Call: +255 655 461 460

Marine Tanzania Swimming Club Call: +255 655 461 460
Get Swimming Training from Experts www.marineswimmingclub.blogspot.com

November 20, 2013

Wiki ya majonzi kwa tasnia ya filamu nchini Tanzania!



 Ni mwaka mmoja tangu JOHN STEPHANO MAGANGA & HUSSEIN RAMADHAN walipotangulia mbele za haki


JOHN STEPHANO MAGANGA 


kwa wapenzi  na wadau wa tasnia ya filamu hapa nyumbani Tanzania itakuwa ni wiki ngumu kwao tangu kuondokewa kwa waigizaji wa filamu hapa tanzania. wiki hii ndiyo wiki ya wasanii JOHN STEPHANO MAGANGA na HUSSEIN RAMADHAN kama sharo milionea walipotangulia mbele za haki tarehe  24/11/2012 marehemu John Maganga alifariki dunia katika hospitali ya taifa muhimbili baada ya kuuguwa kwa siku mbili na kufariki kwa muujubu wa taarifa za madaktari  wa hospitali ya taifa muhimbili    John Maganga alifariki kwa ugonjwa  wa kongosho.



HUSSEIN RAMADHAN



Siku mbili baadae 26/11/2012 tasinia ya filamu ilipoteza msanii mwingine HUSSEIN RAMADHANI kwa jina maarufu kama Sharo Milionea alifariki kwa ajali ya gari alipokuwa ansafiri kuelekea kijijini kwao Muheza  Mkoani Tanga.

Mungu azilaze roho za marehemu mahali pema peponi AMIN!

No comments:

Post a Comment