www.shijamovies.blogspot.com

www.shijamovies.blogspot.com

Marine Tanzania Swimming Club Call: +255 655 461 460

Marine Tanzania Swimming Club Call: +255 655 461 460
Get Swimming Training from Experts www.marineswimmingclub.blogspot.com

November 19, 2013

Muigizaji wa Bongo Muvi Niva akumbwa na dhuruba!


 Niva akumbwa na dhoruba!


Muigizaji wa filamu za bongo  hapa nchini Zuberi Mohamed (NIVA) amejikuta katika hali ngumu baada ya kuibiwa vifaa vyote vya ndani ya gari Kama radio, power window, na vingine vingi  kwenye  gari yake aina ya  Toyota Alteza.





Inasemekana kuwa  wizi huo ulifanywa na  vibaka usiku gari hilo lilikokuwa limeegeshwa.

Kwa maelezo yake vibaka hao   walifanya wizi huo usiku wa kuamkia Jumapili maeneo ya Sinza jijini Dar es Salaam.





Niva ambae kwa sasa anafahamika sana kwa filamu ya “GUBU LA MUME” ameelezea kusikitishwa kwake na kitendo hicho na kuwa amesharipoti polisi.



No comments:

Post a Comment