www.shijamovies.blogspot.com

www.shijamovies.blogspot.com

Marine Tanzania Swimming Club Call: +255 655 461 460

Marine Tanzania Swimming Club Call: +255 655 461 460
Get Swimming Training from Experts www.marineswimmingclub.blogspot.com

December 21, 2013

BONGO MOVIE KUFANYA MAANDAMANO


Wakati wasanii wa filamu nchini wakifikiria kurudi kwenye michezo ya tamthilia wameamua kufanya maandamano katika mkoa wa dar es salaam siku ya Jumamosi tarehe 28 mwezi huu.

 Akizungumza kwa niaba ya wasanii wenzake Issa Musa maarufu kama “cloud” amesema lengo la maandamano hayo ni kupiga kelele juu ya wizi wa kazi za wasanii ili serikali isikie kilio chao na kutoa sheria kali kwa wale wote watakaobainika kuiba kazi zao wakati huo huo jeshi la polisi kanda ya DSM tayari imeisha toa kibali cha maandano hayo.

No comments:

Post a Comment