www.shijamovies.blogspot.com

www.shijamovies.blogspot.com

Marine Tanzania Swimming Club Call: +255 655 461 460

Marine Tanzania Swimming Club Call: +255 655 461 460
Get Swimming Training from Experts www.marineswimmingclub.blogspot.com

December 17, 2013

WEMA MAHAKAMANI TENA

Baada ya Mahakama ya Mwanzo kawe kumuachia kwa faini ya laki moja mwana Dada Wema Sepetu mlalamikaji katika kesi hiyo bwana Gudluck Kayumbu ameibuka na kusema hakuridhishwa na hukumu iliyotolewa na mahakama hiyo na anakusudia kukata rufaa. 



Wapenzi wa Mwana Dada Wema Isaack Sepetu wameibuka na kusema Meneja huyo anatafuta kick kupitia jina la Miss Tanzania 2006 Wema Sepetu





No comments:

Post a Comment