www.shijamovies.blogspot.com

www.shijamovies.blogspot.com

Marine Tanzania Swimming Club Call: +255 655 461 460

Marine Tanzania Swimming Club Call: +255 655 461 460
Get Swimming Training from Experts www.marineswimmingclub.blogspot.com

December 6, 2013

WIZI WA KAZI ZA WASANII.

kutokana na wimbi kubwa la kazi za wasanii hususani filamu imesababisha baadhi ya makampun ya wasambazaji kufunga virago.akizungumza kwa niaba ya wenzao mtayarishaji na msanii wa filamu za kibingo Vicent Kigosi “RAY” amesema hivi karibuni kumekuwa na wimbi kubwa sana la wizi wa kazi za filamu.


Ray ameendelea kusema kuwa kama hali hii itaendelea hivi wasambazaji wote watayafung makampuni zao na hakutakuwa na filamu hata moja sokoni.Ray anaomba wadau pamoja na serikali kupiga marufuku kwawizi wa kazi za wasanii kame wanavyopiga vita uuzaji wa madawa ya kulevya       



No comments:

Post a Comment