www.shijamovies.blogspot.com

www.shijamovies.blogspot.com

Marine Tanzania Swimming Club Call: +255 655 461 460

Marine Tanzania Swimming Club Call: +255 655 461 460
Get Swimming Training from Experts www.marineswimmingclub.blogspot.com

December 6, 2013

MAPAMBANO DHIDI YA UKIMWI.

Katika kukabiliana na janga la ukimwi nchini taasisi ya MKAPA FOUNDATION imewataka wasanii wa filamu na wanamuziki  wa  kizazi  kipya  kushikamana kwa pamoja na kuelimisha jamii katika suala zima la maambukizi ya virusi vya ukimwi.

 Akifungua majadiliano hayo kati ya waandaaji wa MKAPA FOUNDATION  na wasanii hao naibu waziri wa wanawake  jinsia na  watoto MH UMMY MWALIMU ameomba  wasanii kufanya tungo za kuelimisha jamii kuhusu kujikinga na maambukizi ya ukimwi kwani ukimwi upo.


 Akiendelea kufafanua zaidi MH WAZIRI  amesema wasanii wana nguvu  ya ushawishi mkubwa katika jamii ya leo.




 MKAPA FOUNDATION iliandaa majadiliano hayo  katika siku ya ukimwi duniani yaliyofanyika katika hoteli ya protea ya jijini Dar es salaam.





No comments:

Post a Comment