www.shijamovies.blogspot.com

www.shijamovies.blogspot.com

Marine Tanzania Swimming Club Call: +255 655 461 460

Marine Tanzania Swimming Club Call: +255 655 461 460
Get Swimming Training from Experts www.marineswimmingclub.blogspot.com

December 13, 2013

MIKE SANGU APATA USUMBUFU.


Aliyekuwa Mume wa muigizaji wa Bongo Movie Ndumbangwe Misayo “Thea” Mike Sangu amefunguka na kusema kuwa tangu waachane na mkewe Thea amekuwa akisumbuliwa na kupigiwa simu na wanawake wanaomtaka kimapenzi.

“Tangu watu walipojua tumeachana na Thea siku za hivi karibuni nimekuwa nikisumbuliwa sana na wanawake wengi”

Alipoulizwa kama anampango wowote wa kurudiana na Thea Mike alijibu "namuachia mungu tu kwani sikuona sababu yoyote ya Thea kuondoka nyumbani kwangu. kwakweli napata shida sana nimekuwa mtu wa kula hotelini na sina muda mzuri wa kula nyumbani kwangu ili linanipa shida sana " ndoa ya Mike  na Thea ni ndoa iliyodumu miaka mitatu tu alisema Mike



No comments:

Post a Comment