www.shijamovies.blogspot.com

www.shijamovies.blogspot.com

Marine Tanzania Swimming Club Call: +255 655 461 460

Marine Tanzania Swimming Club Call: +255 655 461 460
Get Swimming Training from Experts www.marineswimmingclub.blogspot.com

May 12, 2014

SHAA AFUNGUKA KUHUSU NGOMA YAKE YA “SUGUA GAGA”

  
Shaa, mkali wa "sugua gaga” afunguka kuhusu siri ya uzuri wake na mambo mengine kibao.... "i have many pair of shoes and sometime huwa navigawa kwa ndugu zangu"


4. Muonekano gani wa mavazi unautamani kuujaribu?
Natamani sana kujaribu muuonekano wa gosick fashion mara nyingi wanavaa sana Rock stars wa Marekani utamkuta kavaa full black from top to bottom.
5. Celeb gani wa ki-Bongo wanakuvutia kwa mavazi yao?
Actually Madam Rita na Nancy Sumari all the time navutiwa sana ninapowaona kutokana na uvaaji wao.


6. Una pair ngapi za viatu?
I have many pair of shoes, am so crazy man and sometime huwa navigawa kwa ndugu zangu coz siwezi kukaa na kitu bila kukivaa.


7. Uzuri wako unatokana na nini?
Ni kujiweka naturally bila kujirundika make up, so napenda sana kuwa simple coz is the best to me.



No comments:

Post a Comment