Mwigizaji wa bongo movie
na Mke wa marehemu Sajuki amemfanya Mama Mzazi wa marehemu Sajuki kutokwa na
machozi baada ya kumuona Wastara. Wastara yupo songea mkoani ruvuma kwa ajili
ya dua maalumu ya kumuombea marehemu Mume wake Sajuki itakayofanyika Alhamisi wiki hii.
www.shijamovies.blogspot.com

Marine Tanzania Swimming Club Call: +255 655 461 460
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
No comments:
Post a Comment